Luke 1:16-17

16 aNaye atawageuza wengi wa wana wa Israeli warudi kwa Bwana Mwenyezi Mungu wao. 17 bNaye atatangulia mbele za Bwana katika roho na nguvu ya Ilya, ili kuigeuza mioyo ya baba kuwaelekea watoto wao, na wasiotii warejee katika hekima ya wenye haki, ili kuliweka tayari taifa lililoandaliwa kwa ajili ya Bwana.”

Copyright information for SwhKC